| Hawa ndio vijana kumi (10) waliopasishwa na kupewa vyeti na Mgeni Rasmi Mchungaji George Nywage wa kanisa la KLPT majani mapana ukipenda unaweza ukaita Shalom tarbenacle |
| Mchungaji wa vijana Eva Masongo akiwa katika shughuli zake za kuwafundisha vijana mambo mbalimbali yanayohusu maisha yao ya kiroho. |
| Kwaya ya SDA gofu juu wakiimba katika tamasha la siku hiyo. |
| Huyu ni Mama Maombi akiimba katika na vijana wa kwaya ya EAGT mikanjuni. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni