Jumamosi, 29 Desemba 2012

HARUSI YA ELIZABETH NA YOHANA ALLEN

Aliyependeza namna hii ni mwimbaji wa Tanya Prise & Worship Team ya jijini Tanga akisema neno siku ya harusi yake 

Mheshimiwa Yohana Allen akilishwa kiapo na  Mchungaji Georgre Nywage siku ya alipofunga ndoa na Eliza.

wanaoonekana kwa mbele ni wapambe wa harusi wakiwasindikiza maharusi kutoka nje ya kanisa.

Bwana na bibi wakitoka nje ya ukumbi wa kanisa.

Haya jamani mbona mnapiga picha kabla hatujaweka pozi

haya sasa piga picha yako haraka tusije tukapoteza pozi.

mh! na sisi pia tusikose kumbukumbu hii muhimu sana.

huku Tanga huwa tunaenda kupiga picha baharini, sijui wenzetu msio na bahari mnapiga picha wapi?


Duh! mama Cesi naye hakuwa nyuma alishika nafasi yake sawasawa.

Mmh hili pozi hapa wala sio mahali pake.

Hapo ni sisi hao tulipendeza si kidogo.

Hapo  naona bibi harusi alikuwa keshachoka na hekaheka za harusi. inabidi na mimi niishie hapa kwa kuwatakia maisha mema heri na baraka tele.