Jumamosi, 18 Agosti 2012

FLORA MWAKASEGE: KWA HERI DR KARL



Mama Karl akiwa katika ukumbi wa YDCP kuwaaga wafanyakazi kabla ya kurudi nyumbani kwao Finland kwenye msiba wa baba yake.

Dr Karl akizungumza na wafanyakazi wa YDCP

Baadhi ya wafanyakazi wanawake wa YDCP wakimpa pole Mama Karl baada ya kupata taarifa ya msiba

Kama kawaida ni utamaduni wa kiafrika kutoa faraja kwa mtu aliyefiwa hapa mama Mwingira akimvisha kanga na kutoa kadi yenye maneno ya faraja kwa mama Karl
Wafanyakazi wa Ydcp Wakiwa katika picha ya pamoja na Dr Karl na mama

BAADA YA KUMUAGA MAMA KARL HATIMAYE NAYE KARL NAYE ANAAGWA RASMI
Flora akiwa na mfanyakazi mwenzake Dr Dawson muda mfupi kabla ya kuanza sherehe.


Wafanyakazi wa YDCP Hosea,Upendo na Dawson muda mfupi kabla ya shughuli.
Flora na Upendo
Flora Mwakasege


Hapa ni ndani ya ukumbi Dr Karl akiwa na mshauri mpya wa Mradi wa YDCP tayari kwa shughuli ya kukabidhiana.


Mheshimiwa  Tonner alikuja akiwakilisha makao makuu Dar es Salaam
Add caption
Catherine Mmbando Mbunifu wa kadi za asili akipata msosi.







Penye mambo kuna jambo hapa wafanyakazi wa YDCP wakimzawadia mshauri wa mradi anayeondoka Dr Karl zawadi za kitamduni likiwepo vazi la kimasai,ngalawa n.k.




Staff wa YDCP wakighani shairi lenye kumsifu Dr Karl kwa utendaji wake uliotukuka.

hapa mkuu mpya wa mradi akiwa mbele ya wafanyakazi baada ya kushika hatamu.


picha ya pamoja kati ya wafanyakazi na washika dau wengine
Hapa nilifurahi sana kukutana na huyu rafiki yangu aliyekuja kukodisha ukumbi wa YDCP ambao ni mmoja ya kumbi namba moja kwa uzuri hapa Tanga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni